Tuesday, October 29, 2013

NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA BADO ZIPO 2013-14

Mkuu wa shule anayo furaha ya kuwatangazia kuwa shule bado ina nafasi za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2013/2014. Unaombwa kujitahid kuchukua fomu za kujiunga mapema kwani nafasi ni chache.
                        Nyote mnakaribishwa,
                             Mkuu Wa Shule.

No comments:

Post a Comment